Sunday 17 May 2009

MAN UTD MABINGWA TENA

Timu ya Man Utd imenyakua tena ubingwa wa Premier League huko Uingereza baada ya kutoka sare ya 0-0 na timu ya Arsenal. Timu hii imeukwaa ubingwa huo kwa mara ya 17 sasa. Hongereni mashabiki wa Man Utd.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako