Timu ya Man Utd imenyakua tena ubingwa wa Premier League huko Uingereza baada ya kutoka sare ya 0-0 na timu ya Arsenal. Timu hii imeukwaa ubingwa huo kwa mara ya 17 sasa. Hongereni mashabiki wa Man Utd.
TAIFA WA DHARURA WA KUKABILIANA NA MADHARA YA EL NINO
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako