Saturday 23 May 2009

MATOKEO YA MLIPUKO WA MABOMU MBAGALA

Wanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi Maendeleo huko Mbagala Kuu karibu na eneo la mlipuko wa mabomu wakifanya mtihani wa Utamirifu (Mock) hivi majuzi kwa staili hii.Kwakweli hali inatisha maana wanafunzi wanapata elimu kwa taabu sana.Tuendelee kuiomba serikali itupilie macho tatizo hili.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako