Monday 18 May 2009

UTAFUTAJI WA ELIMU

Wakati wanafunzi wanajitahidi kutafuta elimu popote ipatikanapo, bado kwa baadhi yao mazingira ya kupata elimu yapo duni sana. Hapa chini yaonyesha bweni la wanafunzi shule moja ya sekondari huko Tanga, ambapo Waziri Mwantumu Mahiza alitoa machozi alipotembelea eneo hilo kujionea hali halisi. Tuwasaidie!
_
Haya ni mabweni mapya na mazuri ya Sekondari ya Baobab ambapo kwa hali hii hata utulivu katika kupata elimu unakuwepo. Tunawapongeza!.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako