Saturday 2 May 2009

UJANA KUWAJIBIKA

Inafurahisha na kutia moyo sana kwa namna ambavyo vijana wengi wanajishughulisha na kazi kupata riziki za kila siku. Vijana wengi wanafanya kazi ngumu na katika mazingira magumu, lakini jitihada zao zinabarikiwa. Hongereni na poleni kwa kazi.


No comments:

Post a Comment

Maoni yako