Wednesday 13 May 2009

BARABARA ZETU: BADO KAZI IPO

Wakati tunaipongeza Serikali yetu kwa juhudi kubwa katika ujenzi wa barabara nchini, pia tunazidi kuiomba serikali itupie jicho sehemu hizi nyingine pia ambazo zina barabara korofi hasa nyakati za mvua. Shughuli nyingi za maendeleo zinakwamisha na ukosefu wa barabara za kufikika kirahisi kama inavyoonyesha katika picha magari yakiwa yamekwama katika Barabara ya Lindi/Mtwara hivi karibuni.

Barabara ielekeayo Mbagala = tambarare

Barabara Lindi/Mtwara = korofi

No comments:

Post a Comment

Maoni yako