Tuesday 26 May 2009

SAFISHA MIKONO KABLA NA BAADA YA KULA

Katika kuimarisha afya ya jamii, kumekuwa na msisitizo wa kusafisha mikono kabla na baada ya kula. Lakini wakati mwingine tunajisahau kama kila mmoja wa familia au jamii anafuata maelekezo haya kisahihi. Picha hii ni changamoto tu.