Monday 27 April 2009

YA KALE NA YA SASA

Katika mfululizo huu ninawaletea picha za fedha za nyumbani Tanzania katika nyakati tofauti tofauti za uongozi tangu zamani hadi sasa. Hii ni katika kujikumbusha tu fedha tulizowahi kutumia.

Picha zote kwa hisani ya www.banknotesinfo.com/Tanzania

Shilingi Elfu Kumi hadi sasa

Shilingi Elfu Kumi wakati wa Mwinyi

Shilingi 5000-hadi sasa

Shilingi Elfu Tano wakati wa Mkapa

Shilingi Elfu Tano wakati wa Mwinyi


Shilingi 2000-hadi sasa

Shilingi 1000-hadi sasa

Shilingi 1000-Mkapa

Shilingi 1000-Mwinyi


Shilingi 1000-Nyerere

Shilingi 500 toka wakati wa Mhe.Mkapa hadi sasa

Shilingi 500 wakati wa Alhaji Mwinyi

Shilingi 200 wakati wa Alhaji Mwinyi


Shilingi 100 nyakati za mwanzo za Nyerere




Shilingi 50 wakati wa Mwinyi


Shilingi Hamsini wakati wa Nyerere


Shilingi 20 wakati wa Mwinyi

Shilingi 20 wakati wa Nyerere





Shilingi 10 wakati wa Nyerere

Shilingi 5 nyakati za mwanzo wa Nyerere

No comments:

Post a Comment

Maoni yako