Saturday 18 April 2009

MAMA NA MWANA



Picha hizi mbili zaonyesha namna tofauti za ubebaji wa watoto. Najaribu kujiuliza ni njia sahihi, na kama ndio pia ni ipi inaonyesha zaidi upendo wa mama kwa mtoto? Wanablog nisaidieni jibu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako