Sunday 26 April 2009

MUUNGANO DAY


Leo ni sikukuu muhimu sana katika historia ya nchi yetu ambapo Tanganyika na Zanzibari ziliunganishwa na kuwa TANZANIA.Twajivunia Muungano wetu, matunda na Hayati Mwl.Nyerere na Hayati Mzee Karume. Tuudumishe muungano.Mungu Ibariki Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako