Moshi ukifuka eneo la tukio Usafiri kutoka na kwenda Mbagala ulikuwa ni kwa MIGUU (TZ 11) Wananchi wakiagizwa waondoke eneo hilo maana si salama kutokana na mabomu hayo Wanajeshi wakiondoa mabaki ya mabomu hayo. Bomu
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
No comments:
Post a Comment
Maoni yako