Tuesday 21 April 2009

UMASKINI ULIOPITILIZA

Mkojo wa ng'ombe unapotumika badala ya maji

Wengine hapa wanayachezea maji

Ukame unaosababishwa na kukosekana kwa mvua ya kutosha kumefanya mito,vijito,visima na mifereji kukauka. Maji yamekuwa shida na hivyo kuwafanya wenzetu watafute mbinu mbadala ya kupata kimiminika kama maji.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako