
Wengine hapa wanayachezea maji

Ukame unaosababishwa na kukosekana kwa mvua ya kutosha kumefanya mito,vijito,visima na mifereji kukauka. Maji yamekuwa shida na hivyo kuwafanya wenzetu watafute mbinu mbadala ya kupata kimiminika kama maji.
"Home Sweet Home"
No comments:
Post a Comment
Maoni yako