Saturday 25 April 2009

KAZI NI KAZI




Wakati hali ya maisha inazidi kuwa ngumu,baadhi ya watu wanaendelea kujiwajibisha ili kujikimu kimaisha, lakini wengine wanaona bora wakae barabarani na kuomba msaada kwa wapita njia. Yaani ni kama vile huyu kaka anayewajibika kupasua mawe kupata kokoto anapoziuza, akiwa anarudi nyumbani apitie hapo alipokaa huyu mama ombaomba ampatie kiasi kidogo, hii si sawa jamani. Tuendelee kuwajibika tu maisha yataboreka.

"DON'T JUST SIT THERE, DO SOMETHING" lakini hiyo "SOMETHING" isiwe kuombaomba

No comments:

Post a Comment

Maoni yako