Tuesday 7 April 2009

UMASKINI HUU UTATUMALIZA


Tayari tumeshasahau yaliyotupata kule Mbeya mishoni miaka ya 90, na hata yaliyotokea Kenya hivi karibuni. Hapa ni nje kidogo ya Morogoro ambapo trela la Gari la mafuta ya taa liliacha njia na kupinduka, wananchi wameona "wajisevie".Hii ni hatari

No comments:

Post a Comment

Maoni yako