Sunday, 12 December 2010

"BRAVO" KILIMANJARO STARS

Timu ya Taifa ya Tanzania (kilimanjaro Stars) imenyakua Kombe la CECAFA Tusker Challenge jioni hii katika Uwanja wa Taifa ilipochuana chidi ya Timu ya Ivory Cost
Kilimanjaro Stars

Timy ya Ivory Cost

Wednesday, 22 September 2010

Tuesday, 21 September 2010

MAMBO HAYO

Kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais , wabunge na madiwani yasemekana maisha yamepinga na kunyong'onyea kama kiatu hiki. Ya kweli hayooooo Ila kwa upande mwingine wa shilingi, watu wanazidi kujazia (tazama picha)

Monday, 13 September 2010

BLUE MONDAY


Ni wiki imeanza baada ya pilikapilika za Eid el Fitr na mapumziko marefu ya mwisho wa juma la sikukuu. Tayari katika sehemu mbalimbali za Jiji la Dar watu ni busy. Dada huyu anaonekana akitafuta maji kwa matumizi ya nyumbani. Lakini angalia anavyosota. TANZANIA KWA HALI HII TUTAFIKA KWELI.

Sunday, 12 September 2010

MISS VODACOM TANZANIA 2010


Geneviev Emmanuel ndiye mshindi wa mwaka 2010 wa Miss Vodacom Tanzania.Ni kutoka Kitongoji cha Temeke. Fainali za mashindano hayo zilifanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Mlimani City-Mwenge DSM. Mshindi wa Pili alikuwa Glory Mwanga toka Arusha na wa Tatu ni Consolata Lukosi kutoka Ilala

NAWATAKEINI NYOTE J'PILI NJEMA KWA TASWIRA HII