Friday 23 December 2016

XMAS NA USAFIRI

Kipindi hiki kuelekea sikukuu za xmas na mwaka mpya, kituo cha Mabasi Ubungo kimekuwa kikizidiwa wingi wa abiria kiasi cha kujikuta, daladala nazo zalazimika kusafirisha abiria wa mikoani

No comments:

Post a Comment

Maoni yako