Hatimaye Zari na Diamond wamefanikiwa kupata mtoto wa kiume aliyezaliwa saa 10:35 alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, Desemba 6. Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria Nchini Afrika ya Kusini
RAIS WA BURUNDI AMFARI RAIS SAMIA
1 week ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako