Hatimaye Zari na Diamond wamefanikiwa kupata mtoto wa kiume aliyezaliwa saa 10:35 alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, Desemba 6. Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria Nchini Afrika ya Kusini
TBS wazindua mashindano ya Insha vyuo vikuu
11 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako