Tuesday 13 December 2016

HUMPHREY POLEPOLE ATEULIWA KUWA KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI CCM

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Humphrey Polepole alieteuliwa kuwa Katibu Uenezi CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi pamoja na Makamu Mwenyekiti wa (CCM Zanzibar) Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Philip Mangula kabla ya kuanza kikao cha CCM kufanya uteuzi wa wajumbe mbalimbali jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Maoni yako