Tuesday 5 January 2016

TAFSIRI YA SHERIA NA KUKOSA SHUKRANI

Wakati muda wa `mapumziko’ ya bomoabomoa ukimalizika leo huku jaribio la kupata zuio la muda likiwa limewekwa kiporo, wakazi wa Jangwani ambako nyumba zitaanza kubomolewa leo, jana waliweka mabango barabarani yanayotuma ujumbe wa aina mbalimbali kwa Rais John Magufuli.
Wakati wa mafuriko hupata adha hii

No comments:

Post a Comment

Maoni yako