Ni wikiendi, ni wakati wa kupumzika na kupata burudani. Mbwana Samatta ametupa wikiendi murua Watanzania. Ametuletea heshima kubwa. Msanii hapa anaweka pia angalizo, kuwa kwenye furaha na burudani hii aliyotuletea Samatta, kuna wenye matarajio mengine kutoka kwake...
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
46 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako