MFANYAKAZI: samahani Boss leo sitaweza kuja kazini maana ninapoishi maji yamejaa kila mahala hakuna pa kupita. Nipo kama kisiwani hapa.
BOSS: Nakumbuka ulipokuwa unaomba kazi uliorodhesha moja ya vitu unavyopendelea (Hobby) ni kuogelea. "Tukutane kazini"
Hakuna namna itabidi kutumia mbinu hii kufika kazini. Umesahau kauli mbiu ni "HAPA KAZI TU"
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
46 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako