Kampuni ya Konyagi ambayo ni kampuni tanzu ya TBL Group hivi karibuni iliandaa tamasha la kuonja vinywaji vya wine vinavyotengenezwa na kampuni hiyo yenye makao makuu yake jijini Dar es Salaam.
Tamasha hilo lilolofanyika katika hoteli ya Southern Sun jijini Dar es Salaam lilikuwa kivutio kwa watu wengi na walouhudhuria kwani walipata burudani za kila aina na kufurahia ubora wa vinywaji vya kampuni hiyo bila kusahau kucheza muziki,kupata maakuli na kujishindia zawadi mbalimbali.
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
49 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako