Wazazi ni muhimu kuwa makini sana na hawa wasaidizi. Utakuwa unashangaa mwanao kila siku malaria na net ulinunua. Mwezio dada wa kazi ndo anaitumia
Halafu usishangae hali hii inaweza kupelekea mambo kama haya kutokea kwa watoto
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
54 minutes ago

Duh! Kazi ipo...inahuzunisha kwa kweli!!!
ReplyDeleteYaani sijui twaelekea wapi dadangu
ReplyDelete