Wednesday 28 January 2015

MJUE MWANASHERIA MKUU MPYA WA SERIKALI

Mwanasheria Mkuu mpya wa Serikali ya Tanzania mhe.George Masaju akila kiapo katika ukumbi wa Bunge hii leo baada ya Jaji Werema kujiuzulu
Spika wa Bunge mhe. Anna Makinda aiingia katika Ukumbi wa Bunge Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine alimwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali

No comments:

Post a Comment

Maoni yako