Umoja wa Nchi za Africa (AU) umemteua mhe. Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe kuwa mwenyekiti mpya wa Umoja huo katika kikao kinachoendelea huko Addis Ababa Ethiopia.
Na hapa ni Mhe.Rais Kikwete akiwa katika kikao hicho huko Addis Ababa Ethiopia
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
56 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako