TUJIFUNZE KUMUHESHIMU KILA MTU HATA KAMA UNA MALI NYINGI KIASI GANI IPO SIKU NA WEWE UTAKOSA -
Wadau tukumbuke hali ya maisha huweza kubadilika wakati wowote.
Leo waweza kuwa tajiri lakini kesho ukawa masikini.Endapo unaamini hayo yanaweza tokea wakati wowote, basi huna budi kumuheshimu yule asiye nacho,au aliye na kidogo kuliko wewe kwasababu wakati wowote unaweza ukawa katika hali aliyonayo mwenzako
(Picha maeneo fulani Kariakoo Dar)
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
53 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako