Mama huyu anawajibika ili familia yake iweze kupata mahitaji yake ya kila siku. Ni kazi ngumu lakini mama huyu anajituma ipasavyo. Hongereni kinamama mnaowajibika hivi. Mungu atawajalia kadiri ya jasho lenu. (Picha hii imepigwa Morogoro kwa hisani ya Mjengwa Blog)
DKT. MAPONGA:NCHI ZA AFRIKA ZISHIKAMANE KUTIMIZA NDOTO
34 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako