Imefahamika kuwa, walimu wa shule moja huko Biharamulo,Kagera wanatumia mihongo kuandikia ubaoni kufuatia uhaba wa chaki katika shule hiyo. Shule hiyo ambayo ipo katika maeneo ya jamii ya wafugaji inasemekani ilianzishwa kinyemela bila kusajiliwa. Lakini tunachojiuliza, kama watu wamejitolea kuanzisha shule kwa lengo la kufuta ujinga, kwanini serikali nayo isiwaangalie na kuwasaidia pale panapopungua???
DKT. MAPONGA:NCHI ZA AFRIKA ZISHIKAMANE KUTIMIZA NDOTO
38 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako