POKEA NASAHA:
BABA 1 alikuwa anaosha gari lake jipya, MWANAE mdogo wa miaka 5 akalichora hilo gari ubavuni kwa jiwe. BABA akakurupuka na kumbana mkono kwa koleo,ikapelekea vidole 3 kuharibika. Wakiwa hospitali, wakati anakatwa vidole, MTOTO akamuangalia BABA, akamuliza, vitarudi tena? BABA akaumia sana, akarudi kwenye gari aone MTOTO alivyochora, Kakuta MTOTO kaandika, DADY, I LOVE YOU. Kanuni ya maisha ni WATU wapendwe, VITU vitumiwe. Tatizo la walimwengu wa leo, wanapenda VITU, kuliko WATU. Kumbuka neno la MUNGU lasema, "PENDANENI KAMA NINAVYOWAPENDA MIMI"
TUTAKUWA WAKALI- DKT AKWILAPO
4 hours ago
Hasira hasara!!
ReplyDelete