Wednesday 16 December 2015

WAZIRI MKUU MHE.MAJALIWA AFANYA KIKAO NA MAWAZIRI/MANAIBU MAWAZIRI WAPYA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako