Thursday 24 December 2015

KATUNI YA LEO

Inaakisi tatizo kubwa lililopo katika jamii. Watendaji kuwa mbali na wananchi. Na wakati mwingine hata kwenye mazungumzo ya ana kwa ana. Ubwana na Ubibi shamba sio kazi za kwenda eneo la tukio na mavazi ya kuwafanya wakulima kujiona wako mbali na wanayetaka awasaidie.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako