Wednesday 30 December 2015

BOMOA BOMOA BONDE LA JANGWANI DAR

Baadhi ya wananchi wakiwa wamesha bomoa nyumba zao zilizo katika Bonde la mto Msimbazi, mtaa wa Magomeni Sunna jijini Dar es salaam, kabla ya serikali kuanza kuzibomoa nyumba hizo ifikapo tarehe 5 januari 2016

No comments:

Post a Comment

Maoni yako