Thursday 17 December 2015

KOCHA JOSE MOURINHO WA CHELSEA ATUPWA NJE

Meneja wa klabu ya Chelsea ya Uingereza amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya. The Blues walishinda Ligi ya Premia msimu uliopita

No comments:

Post a Comment

Maoni yako