Friday 25 December 2015

NAWATAKIA KRISMASI NJEMA


RAIS Dr John Magufuli ameweka rekodi ya kuwa kiongozi wa kwanza wa kisiasa kubusu mikono ya kiongozi wa dini hadharani ishara inayoashiria upendo kwa viongozi hao wa dini ambao hufanya kazi kubwa ya kuchunga kondoo.

Rais Magufuli alifanya tendo hilo leo katika misa takatikfu ya Krismasii katika kanisa kuu Mt Peter jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako