Saturday 22 August 2015

WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRICK SUMAYE NAE AONDOKA CCM

Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akitangaza kujiunga na UKAWA japo hajasema anajiunga na chama gani katika UKAWA, leo mchana.
Picha nyingine za tukio hilo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako