Tuesday 25 August 2015

CCM YAANZA MBIO ZA KAMPENI MIKOANI KATAVI NA KILIMANJARO

mhe John Magufuli yupo Mkoani Katavi
Wananchi wa Mishamo wakimsikiliza Dk.John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni za CCM mkoani Katavi.

Mhe Samia Suluhu yupo Mkoani Kilimanjaro
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika Uwanja wa Shule ya Msingi Hedaru, wilayani Same mkoani Kilimanjaro

No comments:

Post a Comment

Maoni yako