Saturday 8 August 2015

WASANII WAMUAGA RASMI MHE. RAIS KIKWETE

Meza kuu katika Hafla iliyoandaliwa Mlimani City Dar es Salaam kwa ajili ya kumpongeza na kumuaga shujaa wa wasanii Mhe. Rais jakaya Mrisho Kikwete.
Mhe Rais Kikwete akikabidhiwa zawadi ya picha yake na Nikki wa Pili, picha hii imetengenezwa kwa kuunganisha majina yote ya wasanii.
Rais Kikwete akiongea na wasanii

No comments:

Post a Comment

Maoni yako