Baada ya miaka 13 ya matumizi ya jezi za Nike, Manchester United sasa imeamua kuzindua jezi mpya zitakazotumika katika msimu wa 2015/2016. Man United watatumia jezi zitakazokuwa zinatengenezwa na Kampuni ya vifaa vya michezo ya Adidas ya nchini Ujerumani
AZAKI ZAITAKA SERIKALI KUTENGA 3% KWA ULINZI WA MTOTO
59 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako