Baada ya miaka 13 ya matumizi ya jezi za Nike, Manchester United sasa imeamua kuzindua jezi mpya zitakazotumika katika msimu wa 2015/2016. Man United watatumia jezi zitakazokuwa zinatengenezwa na Kampuni ya vifaa vya michezo ya Adidas ya nchini Ujerumani
NBAA YAWAONGEZEA UJUZI WAKUFUNZI MITIHANI CPA
2 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako