Monday 3 August 2015

MANCHESTER UNITED FC YATAMBULISHA JEZI ZAKE MPYA 2015/2016

Baada ya miaka 13 ya matumizi ya jezi za Nike, Manchester United sasa imeamua kuzindua jezi mpya zitakazotumika katika msimu wa 2015/2016. Man United watatumia jezi zitakazokuwa zinatengenezwa na Kampuni ya vifaa vya michezo ya Adidas ya nchini Ujerumani

No comments:

Post a Comment

Maoni yako