Monday 3 August 2015

DR.MAGUFULI ALIKOTOKA NI MBALI

Alizaliwa mwaka October 29 1959 kwahiyo umri wake ni miaka 55 akiwa na headlines nyingi za uongozi alioanza nao mwaka 1995 alipokuwa pia naibu waziri wa kazi na leo hii ndiye mgombea Urais wa Tanzania 2015 kupitia Chama cha Mapinduzi CCM.

Hii picha yake hapa chini ni ya miaka 40 iliyopita akiwa Mwanafunzi wa kidato cha kwanza Katoke Seminari March 1975, sura imepotea au yuleyule?
Hapa chini ni Dkt.John Magufuli alipokuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika muhula wa masomo wa 1985/1986. Wengine katika picha kushoto ni Dkt. Abel Minani na kulia ni Dkt. John Kyaruzi

No comments:

Post a Comment

Maoni yako