Monday 3 August 2015

AZAM FC YATWAA UBINGWA KOMBE LA CECAFA. WAIPIGA GOR MAHIA YA KENYA 2-0

Timu ya AZAM FC ya jijini Dar imetwaa kombe la CECAFA maarufu kama Kagame Cup kwa kuichapa Gor Mahia ya Kenya kwa mabao 2-0. Walikabidhiwa kombe hilo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe.Meck Sadiki akishirikiana na Waziri wa Zamani wa huko Kenya mhe. Raila Odinga. Pia walikabidhiwa kitita cha dola elfu 30. (Picha kwa hisani ya Michuzi Blog)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako