Friday 19 June 2015

WEMA SEPETU HAKAMATIKI...MBIO ZA UBUNGE SINGIDA

MANENO KUNTUUUUUUUUUUU................................
Kama watu wanaogombea wako hivi kwanini Wema naye asigombee? Ukikubali kina fulani wagombee basi na kina fulani nao waachwe wagombee. Watanzania wakiwachagua wataishi na uchaguzi huo kwa miaka mitano. Kama ana mashabiki wake katika Bongo Movie na hata nje ya Bongo movie kwanini asigombee?

No comments:

Post a Comment

Maoni yako