Wednesday 17 June 2015

WEMA SEPETU AJITOSHA KUGOMBEA UBUNGE SINGIDA

Star wa Bongo Movie Wema sepetu amemamua kujitokeza adharani na kutangaza nia yake ya kutaka kugombea Ubunge viti maalum kupitia chama cha mapinduzi CCM mkoani Singida ambapo ndio nyumbani kwao...
Wema amesema kwasasa anahitaji Dua zenu pamoja na nguvu yenu kwan yeye mara nyingi amekuwa akiwapa nguvu watu wanaohitaji msaada kutoka kwake sasa ni zamu yake kuwaomba watanzania wamuunge mkono kufikia malengo yake

No comments:

Post a Comment

Maoni yako