Sunday 21 June 2015

HAPPY FATHER'S DAY

Siku hii itukumbushe kusaidiana majukumu pale inapowezekana sio kuachia malezi mtu mmoja katika familia. Hongereni kina baba wote mnaojitahidi katika hilo.

Mkazi wa Jiji la Dar es salaam, Saidi Mustafa.......akiendesha baiskeli huku akiwa amembeba mtoto wake Bakari, mgongoni mwake kama alivyokutwa na mpiga picha hii huko Kinondoni B, Jijini Dar es salaam. Baadhi ya akina Baba wanawajibika ipasavyo katika shughuli za Familia, tofauti na dhana iliyojengeka miongoni mwa Jamii (Picha hii hapa chini kwa hisani ya Fadhili Akida)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako