Tuesday 2 June 2015

MARAIS JAKAYA KIKWETE NA SHEIN ZIARANI NCHI ZA ULAYA

Mheshimiwa Rais Ali Mohamed Shein akiagana na viongozi mbalimbali kabla ya kuondoka kuelekea nchini Ujerumani kwa ziara ya kikazi
Mhe.Rais Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais wa Finland mhe. Sauli Niinisto wakipokea saluti maalum
Mhe.Rais Kikwete akitazama Bandari ya Helsinki huko Finland

No comments:

Post a Comment

Maoni yako