Wednesday 3 June 2015

MWANAMKE WA KITANZANIA KHANGA

Hawa ni kinamama wa Kata ya Buger huko Karatu Arusha Tanzania. Hapa mkazi mmoja wa Buger Bi.rehema akitoa kero yake kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe Lazaro Nyalandu

No comments:

Post a Comment

Maoni yako