Wednesday 24 June 2015

AZAM MARINE WAINGIZA BOTI MPYA "KILIMANJARO V"

Baada ya kuingiza Boti ya Kilimanjaro IV ambayo imekuwa ni kivutio cha usafiri kati ya Zanzibar na Dar es Salaam, Kampuni ya Azam Marine ya mheshimiwa Bhakhresa sasa imeingiza Boti nyingine mpya KILIMANJARO V. Boti hiyo ya kisasa imeshushwa leo katika Bandari ya Zanzibar. Tazama picha nyingine hapa chini Boati hiyo ikiwa inashushwa ikitokea Australia. Tunapongeza Azam Marine kwa kuimarisha usafiri huu wa majini kati ya Tanzania Bara na Zanzibar
Imepewa kisifa :"Lady of Zanzibar"

No comments:

Post a Comment

Maoni yako