Friday 26 June 2015

KUDUMISHA MILA

Mhe.Uhuru Kenyatta,Rais wa Jamhuri ya Kenya akila nyama choma. Hii ni alama ya kutumisha utamaduni wetu. Tusione aibu kudumisha mila njema tulizorithi kwa wazee wetu.
Wakati huo huo mtangaza nia ya Urais 2015 Mhe Edward Lowassa akipata nyama choma alipokuwa katika moja ya mizunguko yake kutafuta wadhamini.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako