Tuesday 30 June 2015

WATANGAZA NIA CCM WALIORUDISHA FOMU LEO

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (katikati), akikabidhi fomu za kuomba kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Rajabu Luhavi alipozirejesha katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana, baada ya kupata wadhamini wanaohitajika. Kulia ni Mkewe Mama Dorcas Membe
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein akionesha Fomu yake ya kugombea kwa Wanachama wake katika hafla ya kurejesha Fomu hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Afisi Kuu Kisiwandui. Picha na Makame Mshenga.
Nae waziri Mkuu Mizengo Pinda amerudisha fomu

No comments:

Post a Comment

Maoni yako