Friday 24 January 2014

VIONGOZI WA MFANO TANZANIA

Waziri wa Ujenzi Mhe. john Magufuli akikagua na kuhimiza ukarabati wa daraja la Dumila huko Kilosa. Mhe Waziri Magufuli akiruhusu lori la kwanza kupita baada ya ukarabati kufikia kiwango cha kuridhisha.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako