Sunday 19 January 2014

MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete,leo amefanya uteuzi wa Mawaziri na Manaibu wapya. Pia hii imehusisha kuteua wapya,kuhamisha na pia kupandisha au kushusha wengine.

Hayo yamesemwa leo na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue mbele ya jopo la Waandishi wa habari jijini Dar-es-Salaam. Baraza Jipya la Mawaziri ni kama ifuatavyo: Mabadiliko na uteuzi huo kamili ni kama ifuatavyo:- OFISI YA RAIS Hakuna mabadiliko. OFISI YA MAKAMU WA RAIS Waziri wa Nchi (Muungano) – Hakuna mabadiliko Mhe. Eng. Dr. Binilith Satano MAHENGE (Mb) Waziri wa Nchi (Mazingira). Mhe. Ummy Ali MWALIMU (Mb) Naibu Waziri OFISI YA WAZIRI MKUU Hakuna mabadiliko WIZARA: WIZARA YA FEDHA Mhe. Saada Mkuya SALUM (Mb) – Waziri wa Fedha Mhe. Mwigulu Lameck NCHEMBA (Mb) – Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Adam Kighoma Ali MALIMA (Mb)- Naibu Waziri wa Fedha WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA Hakuna mabadiliko WIZARA YA KATIBA NA SHERIA Mhe. Dkt. Asha-Rose Mtengeti MIGIRO (Mb)-Waziri wa Katiba na Sheria Naibu Waziri – Hakuna mabadiliko WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI Hakuna mabadiliko WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Waziri – Hakuna mabadiliko Mhe. Janet Zebedayo MBENE (Mb) – Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (Mb)- Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa WIZARA YA UJENZI Hakuna mabadiliko WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI Mhe. Mathias Meinrad CHIKAWE (Mb)- Waziri wa Mambo ya Ndani Naibu Waziri – Hakuna Mabadiliko WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Mhe. Dkt. Seif Seleman RASHIDI (Mb)- Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe. Dkt. Kebwe Stephen KEBWE (Mb)- Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Waziri: Hakuna mabadiliko Mhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb) – Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO Waziri: Hakuna mabadiliko Mhe. Dkt. Pindi Hazara CHANA (Mb) – Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Dismas KAMANI (Mb) – Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Kaika Saning’o TELELE (Mb)- Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi WIZARA YA KAZI NA AJIRA Hakuna mabadiliko WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA Hakuna mabadiliko WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI Waziri – Hakuna mabadiliko Mhe. George Boniface Taguluvala SIMBACHAWENE (Mb) – Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi WIZARA YA MAJI Waziri – Hakuna mabadiliko Mhe. Amos Gabriel MAKALLA (Mb)- Naibu Waziri wa Maji WIZARA YA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA Waziri – Hakuna mabadiliko Mhe. Godfrey Weston ZAMBI (Mb) – Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika WIZARA YA UCHUKUZI Hakuna mabadiliko WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO Waziri – Hakuna mabadiliko Mhe. Juma Selemani NKAMIA (Mb) – Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo WIZARA YA MALIASILI NA UTALII Mhe. Lazaro Samuel NYALANDU (Mb)-Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mahmoud Hassan MGIMWA (Mb)-Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii WIZARA YA NISHATI NA MADINI Waziri – Hakuna mabadiliko Naibu Waziri (Madini) – Hakuna mabadiliko Mhe. Charles Muhangwa KITWANGA (Mb) Naibu Waziri (Nishati) Ikulu DAR ES SALAAM 19 Januari, 2014 

No comments:

Post a Comment

Maoni yako