Tuesday 14 January 2014

CHRISTIANO RONALDO:MWANASOKA BORA WA DUNIA

Usiku wa kuamkia leo, FIFA imemtangaza mchezaji wa Real Madrid kuwa mwanasoka bora wa dunia. Nafasi hii ilikuwa inashikwa na mchezaji bora wa Argentina na klabu ya Barcelona; Lionel Messi.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako